Mh Kikwete Ashtushwa na Habari za Kifo cha Godzilla

Mh Kikwete Ashtushwa na Habari za Kifo cha Godzilla
Moja ya viongozi waliowahi kuwa karibu sana na wasanii kipindi cha uongozi wake mh jakaya kikwete , amesema kuwa amepokea kwa mshtuko sana taarifa ya kifo cha mwanamuziki Godzilla kwa sababu alikuwa moja ya vijana wadogo  mwenye ndoto kubwa maishani.

mh kikwete aliongea maneno hayo huku akiambatanisha na picha yake aliyowahi kuipiga akiwa na msanii huyo miaka ya nyuma.



Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad