Mpenzi Mpya wa Hamisa Amuumbua Tahiya " Tulishaachana Siku Nyingi Acha Kuweka Video za Zamani Kuwaaminisha Watu"

Mpenzi Mpya wa Hamisa Amuumbua Tahiya " Tulishaachana Siku Nyingi Acha Kuweka Video za Zamani Kuwaaminisha Watu"
Mwanaume anaesadikika kuwa na mpezi mpya wa Hamisa Mobeto amefunguka na kuonyeshwa kukerwa na tabiaya wanadada Tahiya ambae ni video queen na model kuwa amekuwa akitangaza kama bado wapo katika mahusiano ya kimapenzi wakati walishaachana siku nyingi.

Mwanaume huyo anasema kuwa anamuomba dada huyo kuacha kufanya hivyo anavyofanya kwa sababu wao tayari walishaachana siku nyingi na wala hukana haja ya kuwaaminisha watu kuwa wapo pamoja.


Ikumbukwe kuwa wiki chache zilizopita mwanadada tahiya aliwahi kumtuhumu Hamisa kuwa amemuibia mpenzi wake na kwenda nae Zanzibar ambap baadaya hayo jamisa aliamua kumtambulisha mwanaume huyo.

Siku hizi mbili zilizopita, katika ukurasa wake wa snap , mwanadad tahiya aliamua kuweka picha ya saa ya mwanaume huyo kuonyesha kuwa wawili hao wapo katika mahusiano, hivyo kiajana huyo aliamua kukanusha .

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad