Mrembo Irene Atupa Dongo Gizani Kiana


Mwanadada aliyewahi kuwa video vixen ambae kwa sasa ni msanii  “IRENE”, ametupa jiwe gizani na kuwaambai baadhi ya wasanii wamekuwa na tabia ya kuwa na majini maubwa katika mitandao ya kijamii lakini utajiri wao haulingani na kile wanachokimiliki kwa hali halisi.

Hata hivyo mwanadada huyo aliwahi kusemwa sana atika mitandao kuwa amekuwa na jina kubwa na utajiri mkubwa usiolingana hata na umri wake.

Irene ambae kwa sasa hivi amejikita katika kuimba haijulikana dongo hilo amemtupia nani lakini amekuwa na utokuwa na maelewanao na baadhi ya wasichana wenzake kama HAMISA.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad