Mrembo Lynn Alikuwa na Katabia Ka Udokozi...Imefunuka


MUUZA nyago maarufu Bongo, Irene Godfrey ‘Lynn’ amefunua jinsi alivyokuwa anapen­da kula maziwa ya unga kiasi kwamba alikuwa anadiriki kudokoa pesa za mama yake ili mradi tu akanunue maziwa hayo.



Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Lynn al­isema alipokuwa mdogo alikuwa anapenda sana kulamba maziwa ya unga, ikawa asipoyapata ana­kosa amani hivyo alifanya kila awezalo apate pesa akayanunue.



“Yaani nilikuwa napen­da sana kulamba maziwa ya unga kiasi kwamba nilianza kuwa na katabia ka’ kudokoa pesa za mama ilimradi tu ni­pate maziwa ila ikafika wakati mama ikambidi azoee hiyo hali, akawa ananipa pesa nika­nunue ili nisizoee tabia ya wizi,” alisema Lynn.

Stori: Shamuma Awadhi

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad