Ningekuwa Diamond , Ningemuoa Zari ;-Gigy

Ningekuwa Diamond , Ningemuoa Zari ;-Gigy
Mwanadada Gigy money ameamua kutao yake ya moyoni kwa kusema kuwa kama yeye ndio angekuwa msanii Diamond platinumz basi wala asingehangaika na wanawake wengine bali angeamua kumuoa Zari kwa sababu ni mwanamke mwenye hela na anajitambua.

Gigy anaonekana kupingana kabisa wa watu kwenye mitandao ya kijamii wanaokaa kutwa wakimsema vibaya mwanamama Zari kuwa amezeeka na ni mkubwa kwa Diampond bila kuangalia umuhimu wa maisha yake kwa msanii huyo.


Gigy anasema kuwa anshangaa kumuona Diamond akiangaika na wanawake wakati Zari alikuwa mwanamke mwenye hela na kama wanegoana wote wangekuwa na pesa na wala wasingesumbuka na kitu chochote kile.

Hat hivyo bado Gigy haonekani kumchukia tanasha kwa sababu amemsifia na kusema kuwa hata yeye alipomuoana siku ya kwanza alimshangaa kwa uzuri aliokuwa nao.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad