Nini Ajutia Kuchanganya Mapenzi na Kazi

Nini Ajutia Kuchanganya Mapenzi na Kazi
Msanii wa muziki wa Bongo fleva aliyewahi kufanya vyema amefunguka na kusema wazi kuwa sio vizuri kuchanganya mambo ya mapenzi na kazi kwani utapotea kimuziki.

Nini aliwahi kuwa kwenye mahusiano na ya kimapenzi na msanii mwenzake Ney wa Mitego ambaye pia alikuwa bosi Wake kwani alikuwa amesainiwa chini ya Label yake.


Kwenye mahojiano aliyofanya na kipindi cha Enews cha EATV, Nini amesema wazi kuwa kuna madhara makubwa sana endapo Msanii wa kike atasimamiwa na Mpenzi Wake kwani inaweza ikasababisha Msanii huyo kupotea kwenye gemu.

Kuna madhara kwa mtoto wa kike kusimamiwa na mpenzi Wake kwani tumeona wasanii wengi wa hivyo wameishia kati na hawajafikia malengo yao kwaiyo kama inaweza ikaepukika ni vizuri zaidi lakini cha muhimu wa wasichana kujitambua na kutambua wanataka nini”.



Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad