Video iliyomuonyesha SNURA akilia yazua Gumzo


Mwanadada Snura Musih azua gumzo baada ya kuonekana akilia katika mahojiano huku sababu kubwa ya kulia ikiwa ni kulalamika kwae kuwa amekuwa na maisha magumu na kwamba wasanii wamekuw waizulumiwa lakini hakuna wa kuwasaidia .

Snura anasema kuwa watu wanaowadhulumu wamekuwa ni matajiri na wao maskini ndio kila siku wamekuwa wakipata shida ya kupambana na hali zao.

Hata baada ya kusambaa wa video hiyo katika mitandao ya kijamii watu wamemshambulia msanii huo kwa kumwambia kuwa wanamshangaa kinachomliza kwa sababu amekuwa akimlea mtu mzima ambae ni kiben ten chake  ambae ana uwezo wa kufanya kazi na kusaidiana katika familia.

Ikumbukwe kuwa snura ameuwa katika mahusiano na mwanaume huyo wanaemwita kibenten kwa muda mrefu sasa huku tetesi zikisema kuwa kijana huyo amekuwa akilelewa na msanii huyo

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad