Wema Sepetu- Nimekaa Bila Kufanya Mapenzi Kwa Miezi Sita

Wema Sepetu- Nimekaa Bila Kufanya Mapenzi Kwa Miezi Sita
Muigizaji wa Bongo movie Wema Sepetu amefunguka na kuweka wazi kuwa hajafanya mapenzi kwa muda miezi Sita sasa tangu amalize mahusiano yake ya mwisho.

Kama utakumbuka mahusiano ya mwisho ya Wema yalikuwa na kijana anayejulikana Kama PK lakini mahusiano hayo yaliishia vibaya na kusababisha Wema kuwa na kesi mahakamani.


Lakini pamoja na kesi kuendelea Lakini Wema Hivi sasa anaendelea vizuri na ameweka wazi kuwa hana Mpenzi na tangu sakata lake na PK yeye yupo single hana Mpenzi.

Hivi karibuni katika Tuzo za Sinema Zetu International Film Festival (SZIFF) alifanya mahojiano na vyombo vya habari na kujibu maswali mbalimbali kama ifuatavyo.

Swali no 1: VIPI MAHUSIANO?

“Niko ‘single’ tangu mwezi wa tisa mwaka jana, tena sija-du na mtu yeyote.S

Swali no 2: KUNA WANAUME WA­NAOKUFUATA?

“Wako wengi sana, yaani wengimno, mpaka daaah!

Swali no 3: UNAWEZAJE KUKAA SIN­GLE KWA MUDA WOTE HUO?

“Kuna muda mtu unaona bora upumzike masuala hayo, kama mimi nimechukua muda wa kuwa mwenyewe tu bila ya masuala hayo.K

“Ninaweza kujizuia, tena watu ambao wanaonizunguka na kunipenda wananipa furaha.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad