Baada ya wimbo wa Harmonize kuchezwa Taifa, amuomba jambo hili Diamond

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva , Harmonize amemuomba Diamond Platnumz ambaye ni C.E.O wa WCB  kuachia EP nyingine kama ya Afro Bongo.

Kauli hiyo imekuja baada ya Wimbo wa Harmonize 'Kainama' kupigwa jana katika uwanja wa Taifa katika mchezo kati ya Tanzania dhidi ya Uganda.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad