Bondia Hassan Mwakinyo Amtwanga Bondia wa Argentina

Bondia Hassan Mwakinyo Amtwanga Bondia wa Argentina
Bondia wa Tanzania, Hassan Mwakinyo amemtwanga kwa Knockout Bondia wa Argentina Sergio Gonzalez katika mzunguko wa 5 usiku wa leo Nairobi nchini Kenya.

Pambano hilo silo la ubingwa. Global Digital tunakupongeza Hassan Mwakinyo kwa kutupa heshima Watanzania na Wana Afrika Mashariki.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad