Breaking News: Joshua Nassari avuliwa Ubunge wa Arumeru Mashariki kwa “Utoro” Bungeni

Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua nassari anadaiwa kuvuliwa ubunge kwa kile kinachodaiwa kuwa ni kushindwa kuhudhuria mikutano mitatu ya bunge, jambo ambalo ni kinyume na sheria na taratibu za Bunge.

Nafasi yake imebaki wazi.

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Wabunge wetu lazima wafahamu kwamba,wao ni watumishi wa umma wananchi waliowachagua na kuwaleta Bungeni ndio mabosi wao,wasiringe au kujifanya kua wao ni tofauti,au wawe na tabaka za kipumbavu,wao sio bora kuliko mtu yeyote,wao ni watumishi sio wafalme,wawe na ADABU,(Mwalim alisema kuna wanasiasa wenye tabia za kimalaya malaya)wasaidieni wananchi.A.R.Msimbazy

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad