Mashabiki Mitandaoni, Wamshambulia Harmonize Kuhusu Hali Duni ya Madhingira ya Nyumbani Kwa Mama yake

Mashabiki Mitandaoni,  Wamshambulia @Harmonize_tz , wamtaka Apunguze Show off ya kumiliki Mabodi gadi wa 4 , Badala yake wamshauri Amjengee mama yake bati chooni na Arekebishe Mazingira ya Nyumbani yawe mazuri.

Picha nyingi  zinaonyesha nyumba anayoishi mama yake haipo katika madhingira mazuri

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad