Mkuu wa mkoa wa Kagera Brigedia Jeneral Marco Gaguti Afika Nyumbani kwa Ruge Kuangalia Maandalizi ya Mazishi Ya Ruge

Mkuu wa mkoa wa Kagera Brigedia Jeneral Marco Gaguti Afika Nyumbani kwa Ruge Kuangalia Maandalizi ya Mazishi Ya Ruge
Mkuu  wa mkoa wa Kagera Brigedia Jeneral Marco Gaguti amefika nyumbani kijijini kabale, Bukoba  katika msiba wa Ruge Mutahaba ili  kuungana na kamati ya maandalizi kwa ajili ya kukamilisha mipango ya mazishi.

Mwili wa Ruge tayari umeshawasili nchini ukitokea Afrika Kusini na Utazikwa Jumatatu  March 4, 2019

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad