Rais Magufuli Kukutana na Wachezaji wa Taifa Stars Leo IKULU

Rais Magufuli Kukutana na wachezaji wa Taifa Stars Leo IKULU
Rais Magufuli atakutana na wachezaji wa Taifa Stars, viongozi wa TFF, Kamati ya Uhamasishaji na bondia Hassan Mwakinyo leo Machi 25, 2019, saa 4:00 asubuhi Ikulu, jijini Dar es Salaam.

Taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa inaeleza kuwa pamoja na mambo mengine, Rais pia atawapongeza na kula nao chakula cha mchana.
Rais Magufuli Kukutana na wachezaji wa Taifa Stars Leo IKULU

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad