Rufaa ya Mbowe na Ester Matiko Kusikilizwa Kesho

Mahakama Kuu ya Tanzania kesho Machi 6,2019 inatarajia kuanza kusikiliza rufaa ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko ya kupinga kufutiwa dhamana na Mahakama ya Kisutu.

Hatua hiyo inakuja baada ya Mahakama ya Rufani Tanzania kutupilia mbali pingamizi za Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) ya kupinga mahakama hiyo kusikiliza rufaa hiyo, Machi 1, 2019.

Rufaa hiyo inatarajiwa kusikilizwa kesho mbele ya Jaji Sam Rumanyika ambapo alisimamisha kusikiliza rufaa hiyo kutokana na rufaa ya DPP.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad