Surveyed Plots For Sale: Mapinga (Baobab)


Viwanja vinauzwa Mapinga (Baobab Sec), viko umbali wa km 2 kutoka main road (Dar to Bagamoyo Road). Viwanja vina miundombinu yote ya barabara za uhakika, maji na umeme.
Bei ya kila sqm ni tsh 13,000 na vipo viwanja vya sqm 500 kwa bei ya tsh 6,500,000/=, sqm 600 bei yake tsh 7,800,000/=, sqm 800 bei yake tsh 10,400,000/=, Nusu eka (sqm 2000) bei yake milion 24 na eka nzima (sqm 4000) bei yake milion 48

Viwanja vyote vinafaa kwa Makazi, Biashara na Ufugaji.
Luksa kulipa kwa awamu 2, awamu ya kwanza ni 75% na awamu ya pili ni 25% ambayo inalipwa baada/ndani ya miezi 3 (mitatu).
Ukipata ujumbe huu mjulishe Ndugu/jamaa/rafiki mwenye uhitaji wa Viwanja.
Mhusika anaitwa mr. H. Kajumulo, mpigie 0758603077 whatsap 0757489709
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad