Viwanja Vikubwa Vinauzwa: Bunju na Mapinga (Baobab Sec)


Viwanja Vikubwa Vinauzwa: Bunju na Mapinga (Baobab Sec)
Viwanja vipo mtaa wa Kimele, Kata Mapinga, km 2 tu kutoka Shule ya secondary Baobab (main road ya Dar to Bagamoyo).
Viwanja vimepangwa vizuri, vina miundombinu ya maji na umeme.

Viwanja viko vya size na bei tofauti kuanzia mita 20/25 kwa bei ya tsh 6 milion, mita 20/30 kwa bei ya tsh 8 milion, mita 20/40 kwa bei ya tsh 10 milion, mita 30/50 kwa bei ya tsh 18 milion, mita 40/50 kwa bei ya tsh 24 milion, mita 40/60 kwa bei ya tsh 30 milion,

Pia ipo nyumba pagala (haijapauliwa) na ina vyumba 3, kimoja master, sebure, dining, public toilet, kitchen etc na bei yake ni tsh 23,000 (kiwanja chake ni sqm 400 au 20/20 mita)

Na pia, kwa Bunju sokoni, kipo kiwanja cha sqm 1800 kinauzwa tsh 54 milion.

Luksa kulipa kwa awamu (anza na 75%, maliza na 25%)
Ukipata ujumbe huu mjulishe ndugu/jamaa/rafiki yako.
Biashara hii haina dalali, mpigie mhusika: 0758603077, whatsap 0757489709
Advertisement

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad