Wabunge Peter Lijualikali Na Susan Kiwanga Waachiwa Kwa Dhamana

Wabunge Peter Lijualikali Na Susan Kiwanga Waachiwa Kwa Dhamana
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk:Benelith Mahenge,ametoa agizo kwa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) pamoja na Shirika la umeme TANESCO kuboresha miundombinu katika eneo la Mtumba linalopimwa viwanja vya makazi na biashara.

Dkt. Mahenge ameyasema hayo katika ziara yake ya siku moja ya ukaguzi wa miundombinu mbali mbali ikiwemo, barabara katika eneo hilo pamoja na ukaguzi wa ujenzi wa madarasa katika shule ya sekondari ya Miyuji jijini Dodoma.

Naye Mkurugenzi wa jiji la Dodoma Godwin kunambi aliyeambatana na mkuu wa mkoa katika  ziara hiyo amesema kuwa eneo hilo lina viwanja vipatavyo elfu kumi.

Kwa upande wake mkuu wa wilaya ya Dodoma mjini Patrobasi Katambi amesema, serikali imekwishawalipa  fidia wananchi waliyokuwa wakilalalimikia maeneo yao kutwaliwa.

Kufuatia ziara hiyo wananchi wa ndani na nje ya Dodoma wamehaswa kutovamia maeneo  na kutonunua viwanja kiholela bali wafate taratibu za ununuzi wa viwanja vinavyouzwa na Halmashauri ya Jiji hilo jambo litakalofanya kuepusha migogoro ya ardhi katika Jiji hilo

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad