Barcelona na Ajax Wapeta Nusu Fainali Club Bingwa Ulaya

MICHEZO: Michezo ya R

obo Fainali katika michuano ya Klabu Bingwa Ulaya imemalizika kwa Ajax na Barcelona kufuzu kucheza hatua ya Nusu fainali


Klabu ya Barcelona sasa inasubiri atakayefuzu kesho katika mchezo kati ya Liverpool na FC Porto ili kucheza naye hatua ya Nusu Fainali


Ajax itacheza hatua ya nusu fainali na timu itakayofuzu kesho kati ya Tottenham na Manchester City  - #regrann  

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad