Familia ya Ruge Mutahaba yafanya Misa ya Shukrani



Siku ya leo familia ya RugeMutahaba ilikuwa na misa ya shukrani katika kanisa la St. Martha, Mikocheni ambapo ndugu, jamaa na marafiki waliweza kuhudhuria katika misa hiyo.

Ruge Mutahaba ambaye alikuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group (CMG) alifariki Februari mwaka huu nchini Afrika Kusini alipokuwa akipatiwa matibabu ya figo.



Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad