Maduka 82 Dar Yakutwa Na Viashiria Vya Utakatishaji

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Profesa Florens Luoga amesema kuwa maduka 82 Dar es Salaam yaliyofanyiwa ukaguzi yamekutwa na viashiria vya utakatishaji fedha.

Prof. Luoga amesema kuwa ukaguzi huo ulifanyika katika jumla ya maduka 87 na uchunguzi zaidi unaendelea dhidi ya maduka yote nchini ili kutoa taarifa kamili.

Gavana huyo amesema hayo jijini Dodoma wakati waziri wa fedha na mipango Dk. Philip Mpango alipokuwa akitoa taarifa juu ya zoezi la ukaguzi wa maduka ya kubadilishia fedha za kigeni nchini lililoanza November mwaka jana.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad