Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Yatoa Tahadhari ya Mvua Kubwa

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetoa angalizo la uwepo wa mvua kubwa, upepo mkali na mawimbi, zitakazoacha athari katika shughuli za, kijamii, kiuchumi, uvuvi na usafiri baharini, pamoja na baadhi ya makazi kuzingirwa na maji.

Mikoa iliyotajwa kukumbwa na hali hiyo ni Dar es Salaam, Pwani, Tanga, Lindi na Mtwara pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad