Navutiwa Sana na Uhusiano wa Diamond na Tanasha Nawaombea kwa Mungu Wafike Mbali- Sanchi

Navutiwa Sana na Uhusiano wa Diamond na Tanasha Nawaombea kwa Mungu Wafike Mbali- Sanchi

MWANAMITINDO Jane Ramoy ‘Sanchi’ ameeleza kuwa anavutiwa sana na uhusiano wa kimapenzi wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Sanchi’ na Tanasha Donna huku akiwaombea wafike mbali.  Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Sanchi alisema anafikia hatua ya kusema hayo baada ya kuwepo kwa manenomaneno kwamba yeye ni kati ya watu wanaoiponda kapo hiyo bila kujua kuwa yeye ni shabiki namba moja wa wawili hao.


“Kuna maneno watu wanaweza kusambaza yasio na kichwa wala miguu lakini ukweli ni kwamba mimi ni shabiki namba moja wa uhusiano wao na ninawaombea kwa Mungu wafike mbali zaidi. “Ninavyoona watadumu muda mrefu tofauti na uhusiano mwingine kwani Diamond ameshapitia mambo mengi na inaonekana anampenda Tanasha kutoka ndani ya moyo wake,” alisema Sanchi.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad