Rais Magufuli Atengua Uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa

Rais Magufuli Atengua Uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa Mkoani Ruvuma Dkt. Oscar Albano Mbyuzi.

Kufuatia uamuzi huo, Rais Magufuli amemteua Jimson Peter Mhagama kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa ni kuwa uteuzi wa Mhagama unaanza leo tarehe 09 Aprili, 2019.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad