TP Mazembe Watua Bongo Wagoma Kupanda Basi la Simba Airport

TP Mazembe Watua Bongo Wagoma Kupanda Basi la Simba Airport
Wapinzani wa Simba kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa hatua ya robo fainali, TP Mazembe wametia timu leo kwenye ardhi ya Bongo.

Kabla ya kutua Dar wakiwa kwa ndege yao binafsi ilitua uwanja wa Songwe, Mbeya kwa ajili ya kuongeza mafuta na kufanyiwa maboresho kidogo  na kupigwa upepo kidogo wa hapo kabla ya kuendelea na safari ya kuja Dar es Salaam.

Mazembe watamenyana na Simba Uwanja wa Taifa Jumamosi huku kauli mbiu ya Simba ikiwa ni Yes We Can.

Gari ambalo liliandaliwa kwa ajili ya kuwachukua kikosi hicho kimekataliwa na wachezaji hao huku wakipanda magari mengine.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad