VIDEO: Kaburi la Mtu Mwenye Ualbino Aliyezikwa 2015 lafukuliwa



Watu Wenye Ulemavu wa Ngozi (Albino) nchini wamelaani vikali vitendo ya ufukuaji makaburi vinavyofanyika Mkoani Mbeya na maeneo mengine nchini vinavyofanywa na baadhi ya watu ambao bado wanaendekeza mila potofu.

Akizungumza na vyombo vya habari akiwa Mkoani Njombe Mwenyekiti wa Chama Cha Albino Tanzania Bwana Nemes Temba amesema vitendo ivyo vimekuwa vikiwaingiza kwenye hofu kubwa na kukosa amani Albino aambo ambalo linapingwa vikali huku wakiitaka Serikali kuingilia kati ukomeshaji wa vitendo hivyo.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad