Wema Awafunda Wasanii Wenzake Juu ya Maisha Yao ya Baadae

Wema awafunda wasanii wenzake juu ya maisha yao ya baadae
Muigizaji wa filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu amewashauri wasanii wenzake kutengeneza malengo yao katika uigizaji ili kujipa uthamani ambao utawasaidia hata pindi wakizeeka.


Akizungumza katika kongamano la waigizaji lililoandaliwa na Bodi ya Filamu wakishirikiana na Chama cha Waigizaji Taifa lililofanyika Jijini Dar es Salaam , Wema amesema muda sasa umefika wa wasanii kujitengenezea thamani katika uigizaji.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad