EXCLUSIVE: “Sasa Naenda Kuolewa, Natamani Kuzaa Tena, Watoto Mapacha” Zari the Boss lady

Ni sehemu ya mahojiano na mrembo Zari the Boss lady aliyezungumza baadhi ya mambo kuhusu maisha yake na yale yanayoendelea mitandaoni ambapo amegusia swala la kufunga ndoa hivi karibuni, kuzaa tena watoto wengine, uraia wa watoto wake pamoja na mengine.

 Sehemu ya kwanza ya aliyoyazungumza Zari yapo kwenye hii VIDEO hapa chini Bonyeza PLAY kutazama. Usisahu sehemu ya pili ya mahojiano yake itafuata hivi karibuni. VIDEO:

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad