Hii Ndio Nguvu Aliyobeba Mwanamke..Ukuanza yeye Anamalizia...Be Careful


Tukumbuke kwamba kinyume cha beba ni shusha, na kinyume cha kusanya ni tapanya, basi ukishindwa kumuhendo mwanamke vizuri kwa upendo na uaminifu mkubwa basi wewe mwenye utakuwa umejitengenezea jehanamu.

A - Pale mwanaume anapompa mwanamke mbegu, mwanamke humpa mwanaume mtoto.

B - Pale mwanaume anapompa mwanake nyumba, mwanamke uifanya nyumbani.

C - Ukimpa mwanamke bidhaa za shambani yeye anakutengenezea chakula

D - Ukimpa maneno machache yeye anakutengenezea sentensi nzima

E - Ukiamua kumchanganya akili yake kidogo tu yeye anaweza kukuvurugia maisha yako yote, ila ukimpa furaha kidogo yeye atayafanya maisha yako yawe paradiso.

Hiyo ndio nguvu aliyonayomwanamke, Kifupi we ukianza yeye huwa anamalizia

Kwahiyo tusilaumiane
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad