Hii Ndio Timu iliyoongoza Kwa Kuingiza Mapato Mengi Ligi Kuu Uingereza Baada ya Ligi Kumalizika



Liverpool ilijipatia zaidi ya takriban £152m kutoka kwa ligi ya Uingereza msimu huu ikiwa ni £1.44m zaidi ya mabingwa Manchester City, baada ya kushiriki katika mechi nyingi za moja kwa moja katika mechi zilizopeperushwaa na runinga Uingereza



The Reds, ambao walimaliza wa pili katika jedwali la Uingereza wakiwa na jumla ya pointi 97 walionyeshwa wakicheza moja kwa moja mara 29 katika Sky Sports ama BT Sport ikiwa ni mara tatau zaidi ya Man City.

Kwa mujibu wa BBC. Kikosi hicho cha Pep Guardiola kilipokea £38.4m kwa kumaliza juu ikiwa ni zaidi ya takriban £2m zilizopokewa na kikosi cha Jurgen Klopp.

Klabu ya Huddersfield ambayo ilishushwa daraja ilipokea £96.6m baada ya kumaliza wa mwisho.

Klabu zote ishirini zilipokea mapato sawa ya £34.4m, pamoja na £43.2m kutoka kwa runinga za kimataifa kila moja na £5m za mauzo

2018-19 Mapato ya ligi ya Premier
Mechi za moja kwa mojaMalipo kwa jumla (£)
Manchester City26150,986,355
Liverpool29152,425,146
Chelsea25146,030,216
Tottenham26145,230,801
Arsenal25142,193,180
Manchester United27142,512,868
Wolves15127,165,114
Everton18128,603,905
Leicester15123,328,078
West Ham16122,528,663
Watford10113,895,527
Crystal Palace12114,215,215
Newcastle19120,130,418
Bournemouth10108,139,973
Burnley11107,340,558
Southampton10104,302,937
Brighton13105,741,728
Cardiff12102,704,107
Fulham13101,904,692
Huddersfield1096,628,865
By Ally Juma.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad