Web

Lipuli Waionyesha Mpira Yanga Yatwangwa 2-0 Bila Huruma

Top Post Ad

KLABU ya Lipuli imeiondoa Timu ya Yanga kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam baada ya kuipa kipigo cha bao 2-0, leo Jumatatu, Mei 6, 2019 kwenye Dimba Samora mjini Iringa.

Yanga wanatupwa nje, na Lipuli FC wanatinga fainali, sasa watakutana na Azam FC kwenye Dimba la Ilulu mkoani Lindi.

Below Post Ad

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.