Muda Mwingine Nakuwa Kama Chizi - Zari

Muda Mwingine Nakuwa Kama Chizi - Zari
Mrembo Zari The Bosslady amefunguka ishu ya kuongeza watoto ukiachana na wale wa tano aliokuwa nao.

Zari amesema kuwa kwasasa anaenda kuolewa na Mume mwenye mtoto mmoja huku akitamani kupata watoto mapacha wa kike na wa kiume.

"Saa nyingine nakuwaga chizi na kuongea vitu ambavyo sipaswi kusema lakini mimi pia ni binadamu, mimi ni Mama mzuri na ni Mfanyabiashara mzuri, sasa hivi naenda kuolewa na mume wangu ana mtoto mmoja, natamani kupata mapacha labda wa kike na wa kiume,” alisema Zari.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad