Rais Apiga Marufuku Picha yake Kuwekwa Kwenye Maofisi

Rais mpya wa Ukraine, Volodymyr Oleksandrovych Zelensky amepiga marufuku picha yake kuwekwa kwenye ofisi za umma kwa kile alichodai kuwa Urais sio umaarufu

Rais Zelensky amesema kuwa badala ya kuwekwa picha zake ukutani, kila mmoja aweke picha ya watoto wake ili awe anaitazama kila anapofanya maamuzi kwa ajili ya nchi

Zelensky aliyekuwa msanii maarufu wa vichekesho alishinda katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo uliofanyika April 21 mwaka huu

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad