RCO wa Ilala afariki kwa ajali ya gari

RCO wa Ilala Jijini Dar SSP Mbise taarifa zinasema kuwa amefariki dunia muda huu wilayani Mwanga Mkoani Kilimanjaro kwa ajali ya Gari akiwa safarini. Taarifa zinasema kuwa RCO Mbise alikuwa anaelekea nyumbani kwao kwa mapumziko ya kikazi. 



Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad