Sitikisiki, Mtaninyanyasa hapa duniani lakini sio mbinguni – RC Makonda

Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Mhe. Paul Makonda amesema kwa hapa duniani anaweza kunyanyaswa au kufanyiwa zengwe na binadamu wenzake lakini kwa upande wa kiroho kuna maisha mengine mbinguni ambayo hakuna binadamu wa kumnyanyasa mtu.



RC Makonda ametoa kauli hiyo wilayani Arumeru wakati akizungumza na na mamia waliojitokeza kwenye Mazishi ya RCO wa Ilala SSP Anael Mbise.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad