TANZIA:MBUNGE Mstaafu wa Kilombero, ABDUL Mteketa Afariki Dunia



Amefariki katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa akipatiwa matibabu. Mteketa alikuwa Mbunge wa Kilombero kuanzia mwaka 2010-2015

Aliwahi kuomba msaada wa matibabu ya upasuaji wa goti lake kwa Rais Magufuli kupitia mitandao ya kijamii ambaye alimsaidia na kumpeleka kutibiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili

Katika video yake alieleza namna anavyoteswa na vidonda hali iliyomlazimu awe anabebwa kwenda kuoga  

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad