Web

Ureno yatwaa Ubingwa wa UEFA National League

Top Post Ad

Timu ya taifa ya Ureno wamekuwa mabingwa mara mbili kwenye mashindano ya UEFA National League mara baada ya kuifunga goli 1-0 Uholanzi kwenye mchezo wa Fainali.

Ureno wamekuwa mabingwa mara mbili katika mashindano manne yaliyopita waliyoshiriki.
1 : EURO 2016.
2 : EURO NATIONAS LEAGUE.

Below Post Ad

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.