Wema Sepetu Clarifies on Her ´Love´ For Harmonize and ´Hate´ for Diamond Platinumz



Wema Sepetu recently put up polls with Diamond Platinumz up against Harmonize but clarifies that her love for Diamond is still there, just not at the moment.


The polls were in a bid to determine who between Diamond Platinumz and Harmonize, is thriving in the music industry.


Apparently, the Miss Tanzania 2016, seemed to imply that Harmonize was doing way better than her ex, Diamond.



The actress´ audience therefore interpreted that she actually does dislike the Tanzanian superstar.

However, the beauty clarifies, that that is not it during an interview expressing:

Naona watu wamenichukuli tofauti lakini nilichokifanya ni kumpa moyo Harmonize ili azidi kufanya vizuri, Na sio kama namchukia Diamond.



Unfortunately, Wema could not point out any of Diamond´s songs that she likes for now, stating that she prefers most of his older songs.

 Kutoka kwenye kiwanda cha Filamu bongo, Miss Tanzania mwaka 2016, Wema Sepetu ameweka sawa kauli yake aliyosema kuwa Harmonize anafanya vizuri kuliko Diamond baada ya watu mitandaoni kuona kama anamchukia Diamond Platnumz ambaye hapo awali alikuwa mpenzi wake. . . Akizungumzia kwenye moja ya interview Wema amesema "Naona watu wamenichukuli tofauti lakini nilichokifanya ni kumpa moyo Harmonize ili azidi kufanya vizuri na sio kama namchukia Diamond" . . Pia mrembo huyo amesema kuwa kwa sasa hana nyimbo hata moja ya Diamond inayomvuti kama nyimbo zake za zamani na kutolea mfano nyimbo kama Mbagala, Kamwambie na nyingine za zamani. . . . #MbagalaYetu #TagNaWanao #MaajabuYanaendelea😎" 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad