Bashe, Simbachawene Kuapishwa Leo

Rais Magufuli atawaapisha mawaziri wateule ambao ni Mh. George Simbachawene kuwa Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira na Mhe. Hussein Bashe kuwa Naibu Waziri wa Kilimo, leo Julai 22, 2019, kuanzia saa 2:30.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad