Hizi Ndiyo Gharama Anazotumia Mwasiti kwenye Mavazi

Msanii wa kike wa muziki wa BongoFleva Mwasiti, amefunguka kuhusu gharama anazotumia kwenye suala zima la mavazi pamoja na kutofanya kazi na wasanii wa kike.


Mwasiti amefunguka hayo leo kupitia EATV & EA Radio Digital, baada ya kuulizwa kuhusu anatumia kiasi gani cha pesa kwenye suala la mavazi.

"Mimi sifikishi hata Laki, kuna mavazi mengine yanakuwa ya gharama sana na mavazi mengine ni ya kawaida tu kama hivi nilivyo leo huwezi kumaliza hata Laki, napenda sana kuvaa kawaida kabisa, nikivaa vazi ambalo halina 'hills' nakuwa vizuri kabisa kabisa".

Aidha msanii huyo amesema kwamba anawapenda wasanii wa kiume kwa sababu wana uharaka kwenye ufanyaji kazi na wanakuwa hawana usumbufu wowote, pia anakuwa vizuri zaidi akifanya kazi na wasanii wa kiume kuliko wa kike, kwa sababu wasanii wengi wa kike wana mazoea na wanakuwa hawana umakini.

Mwasiti tayari ameshafanya kazi na wasanii wengi wa kiume kama Chid Benz, Godzilla, Roma, Billnass na G nako



Online Dating Sites That May Actually Surprise You
Dating | Search Ads
|
Sponsored
These are the 25 Most Dangerous Cities In The World
Trip Minutes
|
Sponsored
They Took The Same Picture For 40 Years. Don't Cry When You See The Last!
TopGentlemen.com
|
Sponsored

These are the 25 Most Expensive Dog Breeds in the World
Topexpensive.com
|
Sponsored
20 Beautiful Places to Visit Before You Die
ezzin.com
|
Sponsored
Baba Levo 'amshambulia' trafiki, Mahakama yaeleza | East Africa Television
Mahakama ya Mwanzo ya Mwandiga mkoani Kigoma, imemkuta na kesi ya kujibu Diwani wa Kata ya Mwanga Revocatus Kipando (Baba Levo), baada ya kutuhumiwa kufanya shambulio kwa Askari wa usalama barabarani akiwa kazini Julai 15, 2019.
EATV

TOP STORIES



CURRENT AFFAIRS
CHADEMA yatoa maagizo matatu kuhusu Halima Mdee

SPORT
Etienne Ndayiragije awatisha wababe wa Simba

LIFE & STYLE
Wanaume wawili wanaoishi na mwanamke mmoja

SPORT
“Shughuli ya Lechantre imekwisha”-Manara



MOST POPULAR

CURRENT AFFAIRS
Rais Magufuli aeleza sababu ya kumuondoa Makamba

CURRENT AFFAIRS
"Kinana,Membe,Makamba wamemshambulia Rais" - Hapi

CURRENT AFFAIRS
RPC aeleza Ofisa wa Serikali alivyouawa

CURRENT AFFAIRS
Nape azungumzia uteuzi wa Bashe, amuita Makamba

CURRENT AFFAIRS
IGP Sirro afunguka kuhusu sauti za 'Nape, Kinana'
ABOUT US
ABOUT USADVERTISEJOBSTERMS & CONDITIONSCONTACT USFREQUENTLY ASKED QUESTIONS
NETWORK
IPP MEDIAEAST AFRICA RADIOITVRADIO ONECAPITAL RADIOLOKOPROMO
© 2019 East Africa Television Limited. All Rights Reserved


Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad