Ajali ya Morogoro: Majeruhi Mwingine Mmoja Afariki


IDADI ya vifo kutokana n ajali ya lori la mafuta lililopinduka na kuwaka moto mkoani Morogoro, imeongezeka na kufikia 94 baada ya majeruhi mwingine mmoja kufariki wakati akiendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam.

Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano  wa MNH, Aminiel Aligaesha, imesema idadi ya majeruhi wanaopatiwa matibabu sasa ni 20.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad