Gari la Abood Lapata Ajali Bodaboda Yahusishwa

BASI  la kampuni ya Abood linalofanya safari zake kati ya Dar es salaam na Mwanza limepata ajali mapema leo  Agosti 9, 2019, asubuhi maeneo ya Mkolani jijini Mwanza.

Inadaiwa chanzo cha ajali hiyo ni mwendesha pikipiki kuingia barabarani bila ya tahadhari, hivyo kusababisha dereva wa basi kupoteza mwelekeo.

Taarifa za awali zinasema kuna kifo cha mtu mmoja ambaye ni dereva wa pikipiki huku watu kadhaa wakipata majeraha.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad