Kampeni iliyoanzishwa ya Jiondoe Vodacom Yamuibua Tundu Lissu Asusia Huduma zao


Wanasiasa pamoja na wadau wengine akiwemo aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu wameendesha kampeni maalumu ijulikanayo kama jiondoe Vodacom kwa kitendo cha kuvujisha mawasiliano ya wateja wao.

Kampeni hiyo ambayo wameitangaza katika mitandao ya kijamii ikiwa imelenga kuwepo na udhibiti wa mawasilino ya mteja bila kutolewa kwa taarifa zake.

Lissu kupitia akaunti yake ya Twitter amesema anasusia huduma za mtandao wa Vodacom na rasmi anaachana nao.

“Nimesusia huduma za mtandao wa Vodacom Tanzania na rasmi anaachana nao,” aliandika Lissu.




Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad