Mwanamitindo Bongo Ben Breaker atajwa kuwania tuzo za Star QT Afrika Kusini

Mwanamitindo ambaye pia ni dansa hapa Bongo, Ben Breaker amechaguliwa kuwania tuzo kubwa za nchini Afrika Kusini ambazo zitafanyika Oktoba 26, 2019.

Tuzo hizo ambazo amechaguliwa mwanamitindo huyo zinafahamika kwa jina la Star QT.

Katika tuzo hizo Breaker ametajwa kuwania katika vipengele viwili ambavyo ni Best Icon na People's Choice.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad