Mwanariadha David Rudisha, Apata Ajali ya Gari

MWANARIADHA Mkenya, bingwa wa mbio za mita 800 anayeshikilia rekodi ya dunia, David Rudisha, jana Jumapili 25, 2019, alfajiri amepata ajali ya gari katika eneo la Nyansiongo baada  ya gari lake aina ya Land Cruiser V8 kugongana uso kwa uso na basi la abiria lililokuwa likielekea mjini Nairobi usiku.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad