Mwimbaji Juma Jux Aonesha Imani Kwa Majeruhi wa Ajali ya Moto..Afunga Safari Kwenda Morogoro

Mwimbaji Juma mefika Mkoani Morogoro kutoa pole kutokana na ajali ya moto iliyotokea hivi karibuni, Jux pia alikutana na Mkuu wa Mkoa Kebwe Steven na baadae kutoa msaada wa dawa na maji baada ya kuambiwa ndio upungufu uliopo kwenye Hospitali ya Mkoa ambayo inahudumia baadhi ya Majeruhi.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad