Updates: Maandamano ya Wanaodai NDEGE Yatulizwa..Baadhi Wakamatwa


Watu watatu wanaodaiwa kuwa viongozi wa maandamano ya kushinikiza kuachiwa kwa ndege ya Air Tanzania yaliyofanyika nje ya Ubalozi wa Afrika Kusini wanashikiliwa na Polisi

Kamanda wa Polisi, Lazaro Mambosasa amesema wao kama Jeshi la Polisi hawaruhusu maandamano wala mtu kufanya anavyofikiria yeye

Amesema “Baada ya kupata taarifa niliamuru Kikosi cha kutuliza ghasi (Field Force Unit - FFU) na Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Ilala kwa ajili ya kuchukua hatua, kwanza kuzuia maandamano na kuwakamata walioratibu maandamano

Aidha, ameongeza kuwa chochote watu hao wanachotaka kupeleka kwa umma wanaweza wakaandika au wanaweza wakatuma wawakilishi
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad