Benki Kuu Yakanusha Kuhusu Kuwepo kwa Sarafu ya 3,000


BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kwamba mwezi Julai, mwaka huu, (2019)  ilitoa sarafu ya kumbukumbu ya visiwa vya Dokdo yenye thamani ya shilingi 3,000.

Katika taarifa kwa umma, benki hiyo imesema habari hizo si za kweli na kwamba sarafu hiyo siyo mali ya benki hiyo, haijatolewa na benki hiyo na haijawahi kuingia mkataba na kampuni yoyote kutoa sarafu hiyo.





Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad