Bondia mtanzania atwaa ubingwa wa A.B.U Afrika Kusini


Bondia Tony Rashid ambaye mwezi uliopita alifanikiwa kushinda ubingwa wa Afrika Mashariki na kati dhidi ya Haidari Mchanjo katika pambano ambalo lilifanyika club 361, Mwenge jana ameshinda ubingwa wa ABU.

Pambano hilo lililofanyika nchini Afrika Kusini lilikuwa na ushindani ambapo Tony alishinda kwa TKO raundi ya 11 akimshinda mpinzani wake wa Afrika Kusini.

Rashid amesema kuwa maandalizi mazuri yalimbebba kwenye pambano hilo na kumpa nafasi ya kuibuka na ubingwa huo.


“Nilijipanga na kufanya mazoezi ya kutosha kwa ajili ya pambano, shukrani kwa mashabiki kwa sapoti pamoja na jamaa wote ambao nipo nao.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad