Breaking News: Rais Magufuli afanya utezi mwingine



Rais John Magufuli amemteua Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora. Pia amemteua Mohamed Khamis Hamad (Wakili wa Serikali katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar) kuwa Makamu Mwenyekiti wa tume hiyo.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad